DUNIA NYINGINE |3|
HTML-код
- Опубликовано: 28 мар 2025
- Follow Bravoo Genius on Instagram / bravoogenius
Follow Bravoo Genius on Facebook / bravoogx
Follow Bravoo Genius on TikTok www.tiktok.com...
#komando #diamondplatnumz #mwakatobe #clamvevo #snakeboy #mutirowafanzandrama #mbengotv #latestnigerianmoviesthisweek #chididikemovies #nollywood #zuchu #nbshortfilms #directorbravoo #latestnollywoodmovies #samspedy #shortfilm #subtitledmovies #newbongomovie #ruthkadiri247 #africanmovies #americanseries Развлечения
Nimeipenda sana movie kali naifuatilia kwa kina❤️🔥🔥keep moving bro you're heading somewhere🙏🙏much love from 🇰🇪
Thank you
Mambooooo
Nimeikubali sana ii movie kazi mzuri tujitume jmn 😊😊😊😊😊
Yuhuuuuu sijachelewa san jmn naomba like japo 5 maan wat mnalala humu naona🤣🥳🥳🥰 bravoo genius unajuw san mtafika mbali ila usichelewe kutoa episode nyngne tunawapend san sanura upo vzr zaid 🥳🥳🥳😘hiii dunia nyengne ni kali san 🔥🔥🔥
Asante sana nakukubali sana ✊😀
@@bravoogenius asante na kukubali sana
❤
Kutoka Director Bravoo Mpaka Bravoo Genius 🎉🎉🎉🎉 Kama Unakubali Mwamba Ni Genius Gonga Like Hapa🎉🎉🎉
Yes genius
Wakwanza mimi guys naomba like from Burundi 🇧🇮
Huyu mkewe bravoo ana saut nzur mashallah hlf mpole yan adi raha❤❤❤❤
I love kibonge mayele❤😅
Kwaiyo bravoo iyo miuno ya huyo mchawii ndo waiyogopa?? Leo nimeshuhudia hadi umezimia maskini pole bravoo,. Sema nn dunia nyengine Ina balaa🔥🔥🙌. Naombeni like jmn mama enu❤️🔥❤️🔥❤️🔥💥😩
Dunia nyingine ni bongee la movie jamani na naproud Kwa kuitafusria Kwa kingeleza❤❤❤😢😢😢😢😢
Dr.Bravo na kukubali sana kutoka Congo 🇨🇩 🇨🇩
Wakwanza from kenya leo much love🇰🇪🔥🔥🔥✊
Eti kisa nime chelewa ndio sipat like sawani 🎉🎉🎉ila directar bravoo tumpe mauwa yake❤❤❤❤
Hongereni sana nimeipenda nzuli sana❤❤❤
Hongereni kwa move nzuri hongereni pia kwakuzingatia muda hakika tunaenjoy wana hmf wote
Malaya wangu Malaya wangu kipivi hebu nidadavulie mbn kudadavua😆❤️
Hapo sawa dakika 15 🎉🎉🎉 bravo mko vizuri nipewe like maana mawazo yangu yamefanyiwa kazi
Haya mim apa wa mwisho maana kila siku wakwanza utazani mnapewa ela 😂😂😂
bravoo gineus 🎉🎉🎉 mimi pia nataman sana niwe muigizaji kama bravo
nakuona kabisa kaka unaelekea alipo CLAM VEVO 🎉
Nakubali sana movie imetulia mjomba umecheza poa sana
kwa kweli nimependa sana hii picha kaka upo vzuri sana
Nilikua nimeisubiri kwa kweli.. much love from 254❤️
Thank you, you're welcome❤
Thank you for you
Kazi nzuri sana ❤❤❤❤
Kwa kweli ii movie ni kali keep the spirit burning 🎉
I appreciate 🙌🏽
Kazi nzuri mno,,,jitahid kutuletea kwa wakati ndugu bravo 👏
Safi saana mnafanyia kaz maombi ya watu nmeona mmeongeza big up saana kwenu kaz nzuri guys .
Bravo genius unajua kaka❤❤❤
Kazi uko poa sana muendelezo ❤❤❤❤
Bravoo unatupa raha kinyama naamini dunia nyingine ni bonge la season
Movie nzur San mashaAllah ila tuleteen Kwa haraka jmn ❤
nime penda tena iyi baba🇨🇩🇨🇩💰❤️
Director bravo you are the best director ever❤❤❤🎉🎉🎉
Bravo anaona magumu😢🇧🇮
Nzuri sana hii mmno😲❤️❤️🤭🇹🇿💅
Mashallah ❤❤ excellent bravoo mungu akufanyie wepes hii movie ni fire 🔥🔥🔥 wallah
Kwakweli ni fire anahitaji pongezi
Kweli kabisa
Saf...iko pw🔥🔥
Ipo vyema sana hii @from pemba#
Even though I am from central Kenya, it is as if am liking it very much. KEEP UP THE SPIRIT, and the fire burning. napenda talanta zenu
Thank you, We appreciate 🙌🏽
Thank you
Kimeanza kuipenda hii
nasubiria sehemu ya 4 jamani naifatilia sana film hii najua ipo siku mutakuwa zaidi yake kanumba
DIRECTOR BRAVOO hongera sana kaka but usikawie sana kutuburudisha 🎉
Wewe na kubali kazi zenu kaka sio powa hatakidogo nakupenda sana ❤❤❤❤❤❤😅
mmm hatimae mwakatobe safari hii kakataa kua mchawi
this is the next level
Wakwanz mimi leo kutokea Burundi 🇧🇮 🎉❤
itoshe kusem mnastahil pongez 👏👏
Mwakatobee asipewe scrept😅😅 mwacheni ajimwaee mwaeee 😅 ninavyomjua mm ungesikia chogo ka mwiko
❤❤❤❤ episode 5 wepesi mwamba
Vua kofia ya mwakatobe iyoo😂😂😂😂
Nice movie 😊 thanks kwa muendelezo
Kibonge mayele
Mwakatobe family ✊✊
Whooow u did it
Maski dada mume wako anateseka😢🇧🇮
Kwan mwakatobe humu sio mchawi😂😂😂😂😂😂
Khee mke wa makatobe alikuwepo ndani dah basi huyo ndiyo mchawi namba moja
Nakubali bravoo kazi nzuri brother
Mungu azidi kumitia nguvu inshaallah miendelee na kazi yenu na umri mrefu
Hilo nalo neno bi zaina halifa
Series qali sana hongera
Mm nazimia wallah😢mana sio kwamauzauza hayoo
Blavo kama bravo ❤❤❤🎉🎉
Ila mke wa bravoo anajua sana
Wakwanza mimi Leo maombi like zangu
Kazi nzuri ila uliwezaje kuchimba shimo na nguo nzuri tena ikiwa umevaa saa ya mkononi
Saa ya buku mbili tu hiyo na tishet ya buku jero wala sio gharama
Keep going guys 💪
iko poa sana naipenda
Dunia nyingine hii Kali kuliko
Kazi zuri nawapenda sana🥰🥰🥰🥰
Story nzuri sana
Big UP
Asante piya kwa kuongeza minutes
Mke wa bravo mbona mzur mno ameolewa?????❤❤❤❤❤❤
Naku kubali sana bravoo
Punguza sauti ya instrumental bro iyo tu bat kilakitu iko sawa
Kazi nzuri sana Mkuu.Kwa wale wanaofuatilia kama mimi,tafadhali nipeeni likes zangu nirudi tena niitazame
Nimechelewa jamani leo ila nawapenda sana❤❤❤
Mm pia❤️❤️🇹🇿💝💝
Hii kali mnooo😊
🎉 nice from ruvuma, nyasa
noma sana mk vizuri
Hii move mpk sasa sijaelewa bado
Nimeenda nzur sana nafatilia
Jaman kali muendelezo basi
Nimependa 🤝🤝
ata mm pia ntka likes 🎉zenu😅
Mnatisha sanaaa❤❤❤❤
Duh wa 70 bravoo umetisha
Jamani mauzauzaa😂😂😂
Bom trabalho aí Tanzânia Eu vós gosto vocês aí . mais Eu peço like.one Kiss 💋 for your all elmentes.
FIRE 🎉🎉
Saf nmeipenda
Shukran
Nakubal endelea kupiga msuri kaka unaheat
@@Shafiimnyepa-u6w ✊✊
hongera sanaaa
Love from Chadia official to🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Good job😇
Thank you
Part 4 ijeeee
Gostei muito desse episódio mais força irmão❤
Nzuli sana jamani❤️❤️❤️
😂😂kuzimia gani uko bravo
Noma sana kaza brow
Unafanya kaz nzuri sana ila naomba uongèe japo minutes kidogo 😊
Mimi sio wakwanza jamanii😂
Bravoo genius❤❤
❤❤
Ila unachelewa sana kuweka nyngn